Ronaldo ni mpenzi wa mamilioni akiwemo jaji.Jaji wa Marekani katika jiji la Las Vegas Marekani amekataa kesi ya ubakaji iliyowasilishwa na mwanamke dhidi ya mwanasoka wa Ureno Cristiano Ronaldo. na kukosolewa Timu ya kisheria nyuma ya malalamiko.
Jaji huyo alitupilia mbali kesi iliyoletwa na Mmarekani Kathryn Mayorga dhidi ya Ronaldo, ambapo anadai kuwa mchezaji huyo wa Manchester United, 37, alimbaka katika chumba cha hoteli huko Las Vegas mwaka 2009.
Ronaldo alishawahi kulipa takribani dola 375 kwa mwanamke huyo ili kunyamaza na kufuta kesi ya ubakaji, lakini alirejea kufungua kesi na kudai fidia ya pauni milioni 20.2 kwa madai kuwa Ronaldo au washirika wake Walikiuka makubaliano ya siri yaliyotiwa saini mnamo 2010 kwa kuruhusu ripoti zake kuonekana kwenye vyombo vya habari vya Uropa mnamo 2017.
Kifo cha mtoto wa Cristiano Ronaldo na ujumbe wa kuvunja moyo kutoka kwake