Picha
Tabia za uharibifu wa figo
Tabia za uharibifu wa figo
1- Kutokunywa maji ya kutosha
2- Kula chumvi nyingi
3- Kula nyama nyekundu kwa wingi
4- Kupuuza matibabu ya magonjwa ya mfumo wa mkojo
5- Kunywa dawa nyingi hasa za kutuliza maumivu
6- Uhifadhi wa taka mwilini kwa muda mrefu