Tom Ford baada ya kukataa dizaini ya mke wa rais Melania Trump kwa madai kuwa nguo zake ni ghali sana kuvaa mke wa rais.Tom Ford alitoa maoni yake kuwa first lady anatakiwa kuvaa nguo ambazo watu wengi wanaweza kuvaa lakini nguo zake ni za gharama sana.
Pia nguo za first lady zinatakiwa ziwe tasnia ya kienyeji yaani tasnia ya Marekani kwa upande wa Melania Trump huku nguo za Tom Ford zikiwa za kitaliano.
Kwa upande wake Donald Trump alitoa maoni yake kuhusu Tom Ford..sijui ni nani alimuomba Tom Ford amtengenezee Melania..yeye sio mpenzi wa nguo zake..nguo zake sio za kifahari..na sio kabisa. nia ya kumsanifu..na akaongeza..nilizionea huruma nguo za Tom Ford.Niliposikia zimetupwa kama taka mbele ya Wayne Hotels baada ya kufunga maduka yake kwa uamuzi wa meneja mkuu wa cheni hii.