ulimwengu wa familiaMahusiano
Katika kulea watoto wako, jihadhari na mambo haya matatu
Katika kulea watoto wako, jihadhari na mambo haya matatu
1- Kumkatisha mtoto wakati akizungumza, bila kujali anasema nini
2- Kutimiza ombi lake wakati wa kulia au kupiga mayowe
3- Kumpiga, kumfokea, au kumkaripia mbele ya watu